WANACHUO WOTE WANAOFANYA MAFUNZO KWA VITENDO WANAPASWA KUZINGATIA MAMBO HAYA MUHIMU

  1. UMELIPA ADA YA AWAMU ZOTE KWA WANACHUO WANAOMALIZA MUDA WAO WA MASOMO
  2. UMELIPA PESA YA BTP NA KUKABIDHIWA VIFAA
  3. KULIPOTI KATIKA VITUO VYA KAZI KWA WAKATI KABLA NA BAADA YA KUFANYIWA UTAHINI
  4. KUVAA SARE ZA CHUO MUDA WOTE UWAPO KATIKA ENEO LA KAZI
  5. KUZINGATIA MAADILI NA SHERIA ZA TAASISI HUSIKA
  6. KUHAKIKISHA UMETAHINIWA WALAU MARA MBILI NA WAKUFUNZI
  7. KUTOKUJIHUSISHA NA VITENDO VYOVYOTE  VYA UVUNJIFU WA MAADILI NA TARATIBU ZA CHUO

       ANGALIZO:

  1. mwanachuo yoyote asiekamilisha michango yake kwa wakati hata ruhusiwa kufanya mafunzo kwa vitendo BTP ambapo itapelekea kuwa discontinue na masomo
  2. mwanachuo yoyote atakaye sitisha mafunzo kwa vitendo atawekewa alama ya INCOMPLETE” itakayopelekea mwanachuo huyo kurudia mwaka kwa wanaochuo wa kozi za ualimu elimu ya awali ODECDE & ECCD
  3. kwa wanachuo wa kozi za ualimu elimu msingi DPE hawataruhusiwa kufanya mtihani wa Taifa kwa wasio kamilisha mafunzo haya ya vitendo

     NB: wakufunzi wanapaswa kuwa makini na kufatilia kwa ukaribu na kuchukua hatua kwa wanachuo walioshindwa kufanya mafunzo haya kwa vitendo kwa           kufuata taratibu na sheria za chuo.

.

Ebonite©2025. By Muu Tech. All Rights Reserved.

Scroll to Top